Friday 18 January 2013

VIJIMAMBO: Taarifa ya Msiba

VIJIMAMBO
thumbnail Taarifa ya Msiba
Jan 18th 2013, 20:55


Familia ya ndugu Demba Sow, inasikitika kutangaza Kifo cha mke wake mpenzi Monique Demba Sow Kasongo. Kilichotokea Burhani Hospital 14-1-13 saa 2 usiku. 

Habari ziwafikie watoto wa Marehemu, Yan Sow na Didy Sow walipo America na Canada, ndugu, jamaa na marafiki popote walipo. 

Leo tunakesha nyumbani kwa Marehemu Mikocheni karibu na Clouds Fm. Mazishi ni kesho Jumamosi 19-1-13 ambapo Misa ya kumuombea Marehemu itafanyika nyumbani kwake Mikocheni kesho 19-1-13 saa 5 na kuagwa. 

Mwili utazikwa Katika makaburi ya Kinondoni saa 9 mchana. 

Kwa mawasiliano zaidi,Wasiliana na mwenye namba hii 0754280895

Mungu aiweke Roho ya Marehemu Mahala pema Peponi.

-Amen.

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment