Wednesday 13 March 2013

VIJIMAMBO: HUYU NDIYE PAPA MPYA NA WA KWANZA AMBAE HATOKEI ULAYA

VIJIMAMBO
HUYU NDIYE PAPA MPYA NA WA KWANZA AMBAE HATOKEI ULAYA
Mar 13th 2013, 20:17

Pope Francis I Newly elected Pope Francis I appears on the central balcony of St Peter's Basilica on March 13, 2013 in Vatican City, Vatican. Argentinian Cardinal Jorge Mario Bergoglio was elected as the 266th Pontiff and will lead the world's 1.2 billion Catholics.
Papa Mpya Francis akitokea kwenye kibaraza kwenye kanisa la Mt. Peter mji wa Vatican baada ya kuchaguliwa leo Jumamtano March 13, 2013. Papa Francis ndie Papa wa kwanza kuchaguliwa ambae hatokei Ulaya na amekua Papa wa 266, Cadinali Jorge Mario Bergoglio kutoka Argentina atakaye waongoza Wakatoliki wapatao Bilioni 1.2 Duniani
Pope Francis I Newly elected Pope Francis I appears on the central balcony of St Peter's Basilica on March 13, 2013 in Vatican City, Vatican. Argentinian Cardinal Jorge Mario Bergoglio was elected as the 266th Pontiff and will lead the world's 1.2 billion Catholics.
Papa Francis akiendesha sala ya kuiombea Dunia kwa mara ya kwanza kama Papa

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment