Mvua kubwa zilizonyesha mkoani Mtwara zimesababisha nyumba kadhaa mitaa ya Magomeni Matopeni na Nkana-red katika manispaa ya Mtwara/Mikindani kubomoka, zingine kuingiwa na maji na kusababisha hasara kubwa ya mali na maisha ya watu kuwa hatarini
You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.
No comments:
Post a Comment