Saturday 13 April 2013

VIJIMAMBO: NDEGE YAANGUKA ARUSHA NA KUUA RUBANI- LUKAZA

VIJIMAMBO
NDEGE YAANGUKA ARUSHA NA KUUA RUBANI- LUKAZA
Apr 14th 2013, 00:44

HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA NDEGE ILIYOKUWA INAMILIKIWA NA WAKILI MAARUFU MAREHEMU NYAGA MAWALA ALIYEFARIKI WIKI 3 ZILIZOPITA NA KUZIKWA HUKO NAIROBI IMEANGUKA IKIWA KATIKA HATUA ZA MWISHO ZA KUTUA (FINAL APPROACH) KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA ARUSHA.

Taarifa zinasema kuwa ndege hiyo ilikuwa na rubani peke yake anayejulikana kwa jina la Jamal B S, au maarufu kama Bob Sambeke aliyekuwa anatokea West Kilimanjaro.

Maelezo zaidi kuhusu ajali hiyo ni kwamba ndege hiyo ilijaribu kutua baada ya masaa ya kawaida ya kufunga kiwanja(saa 12.30jioni) kupita.

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment