laza ya kuingia na miguu miwili ya mchezaji Vincent Kompany wa Man City dhidi ya mchezaji Wilshere wa Arsenal na yeye kudai haikua rafu ya kupata kadi nyekundu kwa sababu yeye aliupata mpira kama uliangalia mechi hiyo ni nini maoni yako
Refarii wa Mike Dean akimtoa Vincent Kompany nje ya uwanja kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea Tuckling mchezaji wa Arsenal, Wilshere (hayupo)
Mchezaji Vincent Kompany (jezi #4) akimchezea Tackle Fernando Torres wa Chelsea katika mechi ya kugombea Community Shield ambapo mechi hii Man City waliwashinda Chelsea 3-2. Kompany hakupata kadi yeyote kwenye Tackle hii
Mchezaji Vinceny Kompany akimchezea Tackle Bradley Johnson wa Norwich na hakupata kadi kwa Laza hii
Vincent Kompany akimchezea Tackle Fernando Forestieri wa Watford na hakupata kadi kwenye Tackle hii
Mchezaji Vincent Kompany akimchezea Tackle Nani, mchezaji wa Man United na Tackle hii alipata kadi nyekundu
No comments:
Post a Comment