Thursday 31 January 2013

VIJIMAMBO: NAPE AITEKA KASULU

VIJIMAMBO
NAPE AITEKA KASULU
Feb 1st 2013, 00:17


Katibu wa Halmashauri ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akishangiliwa na wafuasi wa chama hicho katika mkutano uliofanyika Kasulu na kuhudhuliwa na watu kibao
Katibu wa Halmashauri ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akisalimiana na mmoja ya wa Vijana wa Kasulu aliyekuwepo kwenye mkutano wa chama hicho uliofanyika JumatanoJanuary 30, 2013.
Wafuasi wa CCM wakimsikiliza Katibu wa Halmashauri ya CCM Taifa, Nape Nnauye

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment