Monday 14 January 2013

VIJIMAMBO: Wema Sepetu Aachia Lebo Ya Kampuni Yake Mpya

VIJIMAMBO
Wema Sepetu Aachia Lebo Ya Kampuni Yake Mpya
Jan 14th 2013, 20:46




Mwanadada machachari kutokea kwenye Industry ya Filamu Tanzania, Wema Sepetu kwa mara ya kwanza kupitia mtandao wa picha unaoitwa Instagram ameachia picha ambayo inaonesha ni logo ya kampuni yake mpya ya EndlessFame Film. Kampuni ambayo aliitangaza kipindi cha nyuma ambayo itakuwa inajihusisha na maswala ya filamuTanzania.

Sambamba na kuachia picha hiyo Wema amewataka Watanzania kumwombea Dua ili kufanikisha adhma yake hiyo ambayo itakuwa na msaada mkubwa kwenye sanaa ya filamu Tanzania na hata kuinua vipato vya Wasanii.

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment