Friday 8 February 2013

VIJIMAMBO: Goldie Kutengeneza Album Itakayogusa Bara La Africa

VIJIMAMBO
Goldie Kutengeneza Album Itakayogusa Bara La Africa
Feb 8th 2013, 23:37

Mwanamuziki kutoka Nigeria, Goldie Harvey famously known as "Goldie"anataraji kutengeneza album ambayo itagusa kila kona ya Africa. Goldie ambae pia alikuwa mshiriki wa shindano la Big Brother Africa la mwaka jana ameyasema hayo katika interview aliyofanya na MTVBase Africa hivi karibuni.

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment