Friday 8 February 2013

VIJIMAMBO: TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA BUNGENI DODOMA

VIJIMAMBO
TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA BUNGENI DODOMA
Feb 8th 2013, 22:55


2-pm-na Mwanjelwa(Kulia)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) akibadilishana mawazo na Mary Mwanjelwa (Viti Maalumu) katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Mbunge wa Moshi Mjini, Phillemon Ndesamburo, akiongea na Lucy Owenya (Viti Maalumu) Bungeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na wabunge (katikati ) ni Mary Mwanjelwa (-Viti Maalumu) na James Lembeli (kulia) Bungeni.
Mbunge wa Mtwara Mjini, Hasnain Murji akiuliza swali Bungeni.

(Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO)

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment