Tuesday 23 April 2013

VIJIMAMBO: WANAWAKE WA KISENEGAL KWA MIEREKA UTAWATAKA

VIJIMAMBO
WANAWAKE WA KISENEGAL KWA MIEREKA UTAWATAKA
Apr 24th 2013, 02:07

Kuvutana nywele hairuhusiwi wakati wa miereka lakini refari haonekani kama anawatizama wawili hawa
Nchini Senegal, miereka ya kitamaduni inapendwa zaidi kuliko soka huku wachezaji wakijipatia pesa nyingi na hata kuwa watu maarufu. Katika sehemu nyingi za nchi mchezo huu ni wa wanaume pekee lakini katika maeneo ya mashinani , hususan Kusini mwa nchi, kuna historia ndefu ya wanawake kushiriki miereka na ndio maana timu yua taifa inajumuisha watu kutoka eneo hilo. Picha na maelezo: Laeila Adjovi.

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment