Monday, 20 May 2013

VIJIMAMBO: Spika wa bunge aliahirisha bunge kwa dharura kujadili hotuba ya kambi ya upinzani.

VIJIMAMBO
thumbnail Spika wa bunge aliahirisha bunge kwa dharura kujadili hotuba ya kambi ya upinzani.
May 21st 2013, 00:06

Spika wa bunge Mh. Anne Makinda ameliahirisha bunge kwa dharura kupisha kamati ya kudumu ya kanuni za bunge kukutana kwa ajili ya kuijadili hotuba ya kambi rasmi ya upinzani iliyokuwa ikisomwa bungeni kwa madai ya kuwa na baadhi ya maneno ya uchochezi na baadae kutoa maamuzi ya kuondolewa kwa maneno yote yaliyoko katika ukurasa wa kwanza hadi 14 wa hotuba hiyo

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment