Saturday 25 May 2013

VIJIMAMBO: UHURU KENYATTA KUTUMIA CHOPPER KUPUNGUZA FOLENI

VIJIMAMBO
UHURU KENYATTA KUTUMIA CHOPPER KUPUNGUZA FOLENI
May 26th 2013, 00:52

Tangu Uhuru Kenyatta aingie madarakani uongozi wake umekuwa uki make headline kila siku kwa mambo ambayo pengine hayajawahi kufanyika

ali make headline kwa kuweka idadi ndogo kabisa ya mawaziri pia Makamu wake Bwana Ruto kununuliwa Private Jet ya kifahari kwa ajili ya mizunguko yake ya kikazi

sasa basi ishu mpya ni kwamba ametangaza kutumia chopper la kijeshi{pichani} itakayokuwa ikimtoa ikulu mpaka Airport ikisemekana kuwa nia ni kuondoa foleni itakayokuwa ikisababishwa na msafala wake endapo atatumia magari..

Unauonaje utaratibu huu??

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment