Saturday 16 March 2013

VIJIMAMBO: PAMOJA NA WAGOMBEA 6 KUJIENGUA, UCHAGUZI CCM DMV WAFANYIKA

VIJIMAMBO
thumbnail PAMOJA NA WAGOMBEA 6 KUJIENGUA, UCHAGUZI CCM DMV WAFANYIKA
Mar 17th 2013, 02:56

Wanachama wa CCM DMV wakiinuka kwenye viti vyao kushangilia kwa kishindo ushindi Uncle George Sebo aliyeshinda kwenye uchaguzi wa chama hicho kwenye nafasi ya Mwenyekiti ambao alijikua mgombea pekee baada ya mgombea mwingine Mrisho Mzese kujitoa na wengine watano waliokua wakingombea nafasi mbalimbali kwa sababu ya kuona haki isingetendeka kwenye uchaguzi huo wa CCM DMV. Wagombea wengine waliopita ni Yacob Kinyemi aliyeshinda ukatibu mkuu, Faraja Isingo Katibu Uchumi na Fedha, Salma Moshi nafasi ya Katibu Itikadi na Uenezi, Mama Kimolo Uenyekiti wa UWT, Aunty Grace Mgaza Mwenyekiti Wazazi na Grace Mlingi Katibu Umoja wa Vijana
Mwenyekiti aliyekua wa muda Loveness Mamuya akimkabidhi Mwenyekiti mpya Uncle George Sebo Bendera ya Chama Cha Mapinduzi
wenyekinyiki uongozi wa CCM DMV uliokua wa muda, Loveness Mamuya akimkabidhi kitabu cha Ilani ya chama mwenyekiti mpya Uncle George Sebo.
Viongozi wa CCM DMV waliochaguliwa katika picha ya pamoja
Viongozi waliochaguliwa katika picha ya pamoja na uongozi wa zamani
Viongozi waliochaguliwa katika picha ya pamoja na wanachama wa CCM DMV
Kamati ya uchaguzi ikiwa na msimamizi Afisa Ubalozi Suleiman Saleh (watatu toka kushoto)
Viongozi waliokua wa muda CCM DMV katika picha ya pamoja
Kamati ya uchaguzi ikitangaza utaratibu wa kupiga kura
kwa picha zaidi bofya read more









You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment