Tuesday 26 March 2013

VIJIMAMBO: Ununuzi Kwa Njia Ya Ushindani (Mnada)

VIJIMAMBO
Ununuzi Kwa Njia Ya Ushindani (Mnada)
Mar 27th 2013, 00:16

mnada.co.tz
Hapa Tanzania mnada umekua ukifanyika pale mtu anapo shindwa kulipa deni.

Kawaida kila mtu anakitu ambacho angependa akiuze kwasababu moja au nyingine. Inaweza ikawa simu, laptop au kitu chochote, iwe ni kipya au kimetumika. Njia nzuri na rahisi ni kukinadi ili watu wakinunue kwa njia ya Ushindani kulingana na uwezo wao ambapo mwenye dau kubwa ndo atashinda.

Hii sasa inawezekana kupitia tovuti ya http://www.mnada.co.tz

You are receiving this email because you subscribed to this feed at blogtrottr.com.

If you no longer wish to receive these emails, you can unsubscribe from this feed, or manage all your subscriptions

No comments:

Post a Comment